MKALI WA AZONTO ATUA DAR KWA AJILI YA SHOW YAKE HAPO KESHO

Mkali wa Azonto 'Nana Richard Abiona' aka Fuse ODG amewasili leo 6 Sept majira ya saa tisa usiku katika uwanja wa ndege wa kimataifa Mwl.J.K Nyerere.
 
Fuse ODG anatarajia kutoa burudani kali siku ya tarehe 7 Sept kesho katika viwanja vya Ustawi wa Jamii
Ticket kwa shilingi 10000/=
Mlangoni 15000/=


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo