MWENGE WA UHURU WAZINDUA DARAJA LA MILIONI 490 MBAGALA DAR ES SALAAM

uzinduzi wa mradi wa daraja la kwa Mangaya lililopo wilaya ya Temeke ambalo limefunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge. Daraja hilo limegharimu kiasi cha Tsh. Million 490 fedha zilizotolewa na ofisi ya Waziri Mkuu kitengo cha maafa.

Kuanzia sasa wakazi wa kata ya Mbagala wataunganishwa vyema na wakazi wa kata ya kiburugwa ambao hapo mwanzo walikuwa kwenye wakati mgumu wa kuvuka haswa inapofika msimu wa masika tatizo linakuwa baya zaidi linaloweza kuleta maafa.
Picha zote na Emmanuel Shilatu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo