HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO KUNUFAIKA NA MIRADI YA MAJI

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akiwa amesimama juu ya mradi wa maji wa Miganga, pembeni yake akiwa na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde katika ziara aliyoifanya Wilayani  Chamwino, mkoani Dodoma.

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akiwa pembeni ya mradi wa maji wa Mvumi Misheni, pembeni yake akiwa na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde katika ziara aliyoifanya Wilayani  Chamwino, mkoani Dodoma.

Tanki la maji la mradi wa maji wa Mvumi Makulu, katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma likiwa katika hatua za mwisho kukamilika, katika ziara iliyofanywa na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wilayani hapo.

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe (katikati) akiwa amesimama mbele ya tanki la maji la mradi wa Mvumi Makulu, pamoja na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino (kushoto), Fatuma Ally katika ziara iliyofanywa na Waziri huyo wilayani hapo.

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na Mhandisi wa mradi wa maji wa Mvumi Makulu, Wilayani Chamwino (kulia), katika ziara aliyofanya Waziri huyo wilayani hapo.

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mvumi Makulu katika ziara ya kukagua miradi ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino.

Mkurugenzi wa Idara ya Maji Vijijini, Wizara ya Maji, Mama Frida Rweyemamu akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mvumi Makulu, katika ziara ya Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wilayani Chamwino.
(Picha zote na Dennis Henry)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo