SUMAYE AZUNGUMZIA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA HAPA NCHINI


WAZIRI Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye amekemea tabia ya wanasiasa kuwashirikisha vijana katika rushwa na biashara ya dawa za kulevya maarufu kama unga, akitaka waumbuliwe.

Aidha, amedai biashara ya kununua kura ni biashara ya gharama kubwa na fedha nyingi hutumika; fedha zikipatikana tokana na biashara chafu kama ya madawa ya kulevya, wakishapata madaraka lazima wazidishe kasi ya biashara hiyo ili warudishe fedha zao walizozitumia na kuongeza nyingine nyingi zaidi kama faida!

Endelea kusoma zaidi ==> http://bit.ly/18kulwe


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo