
Dhahama hiyo imempata baada ya kushuka kwenye tax ambako kulikuwa leo akiendesha mhadhala baada ya mhadhala huo kukawa kama kuna maandamano kueleke barabarani, gafla polisi walitokea na kuanza kutawanya wakati huo yeye alikuwa hayupo.
Ndipo muda mdogo akawasili akashuka na ndipo akapigwa risasi.
Haijulikani hali yake. RPC, Faustine Shilogile, anasema hali ni shwari ila Ponda hajui hali yake Maana polisi walizuia gari la Ponda wamkamate, lakini wananchi wakaanza kushambulia polisi ndipo wakarusha risasi hewani kutawanya watu, lakini wananchi wakamtorosha.
Anasema taarifa ni
nyingi za uongo, hakuna watu polisi wala hospitali waliozingira na
anaomba anayejua alipo atoe taarifa.
CHANZO:JF