MAGUNIA 64 YA MAHINDI YA MSAADA YAIBIWA KWIMBA MKOANI MWANZA


 http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1687414/highRes/459401/-/maxw/600/-/f1h29xz/-/gunia.jpg

Magunia 64 ya mahindi, yakiwa ni sehemu ya tani 646 zilizotolewa na ofisi ya waziri mkuu kwa ajili ya wananchi wa wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wanaokabiliwa na njaa, yameibiwa na baadhi ya watendaji wa kata za Shilembo na Bupamwa wilayani humo.
taarifa zaidi endelea kusoma blog hii


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo