Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akimwapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu
jijini Dar es salaam leo.Picha na Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Msajili wa Vyama
vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi na viongozi wa vyama vya siasa Ikulu
jijini Dar es salaam leo. PICHA NA IKULU





