PICHA 13 ZA SHOW YA KUNDI MAARUFU KAMA "MAKIRIIKIRI YA KIKINGA" ILIYOFANYIKA MAKETE MJINI

 Msanii wa kundi la SUMASESU arts Group Said Mandende akionesha uwezo wa kucheza na moto katika show iliyofanyika jumamosi hii Agosti 3,2013 iliyofanyika katika ukumbi wa Francis Chaula, Makete mjini
 Wasanii wa kundi la SUMASESU Arts Group wakiwa jukwaani wakiwajibika kwa mashabiki wao

Msanii wa kundi hilo Clarence Pila maarufu kwa jina la KR akiimba wimbo wa Vilila Avana ambao umebeba jina la albam yao
 mashabiki walishindwa kujizuia na kwenda kupiga naye show
 hatari lakini salama
 Mandende akiwajibika na mautundu ya kuchezea moto
 Msanii wa kundi hilo Farida akiimba wimbo wake jukwaani
 Farida akiimba wimbo wake aliomshirikisha Roby(kulia)
 Farida na Roby wakiwa jukwaani
 mashabiki wakishow love na msanii Roby kutoka kundi la SUMASESU wakati akiimba wimbo wake jukwaani
Robby(wa kwanza kushoto) akiwajibika kwenye stage huku akipewa kampani na wasanii wenzake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo