
Mshambuliaji wa timu ya taifa stars na
mchezaji wa Yanga, Mrisho Ngasa, ameingia kwenye scandal nzito baada ya
kile kinachoonekana kuwa mkanda wake wa ngono kuvuja mtandaoni
Mkanda huo ambao ni rahisi kuuona kama mtu "akigoogle" jina lake, unamuonesha mchezaji huyo akiwa kwenye suti ya kuzaliwa pamoja na msichana wakivunja amri ya sita.
Huku kukisikika muziki wa aina mbalimbali ukiwemo wa raggae, wapenzi hao wanasikika wakizungumza kucheka wakati wakiendelea na tendo hilo.
Bado mchezaji huyo hajazungumza chochote kuhusiana na mkanda huo ambao inadaiwa unauzwa kama njungu mtaani.
Mkanda huo ambao ni rahisi kuuona kama mtu "akigoogle" jina lake, unamuonesha mchezaji huyo akiwa kwenye suti ya kuzaliwa pamoja na msichana wakivunja amri ya sita.
Huku kukisikika muziki wa aina mbalimbali ukiwemo wa raggae, wapenzi hao wanasikika wakizungumza kucheka wakati wakiendelea na tendo hilo.
Bado mchezaji huyo hajazungumza chochote kuhusiana na mkanda huo ambao inadaiwa unauzwa kama njungu mtaani.