MDAU NA BLOGGER FREDY ANTONY APATA NONDO YAKE YA PILI

 Mdau Fredy Anthony ambaye ni Head of Group Research and Product Development wa Tone Multimedia Group, akiwa Nje ya ukumbi wa Dewan Tun Canselor   Mara baada kupata shahada yake ya pili  (Master of Business administration - Multimedia Marketing)   katika Chuo kikuu cha Multimedia kilichopo Malaysia.
Mdau Fredy Anthony akiwa katika Picha ya Pamoja na Marafiki walio msindikiza katika Mahafali hayo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo