MANSOOR HIMID ALIYETIMULIWA UANACHAMA NA CCM, ASEMA YOTE ANAMWACHIA MUNGU


Hatimaye Mansoor Yussuf Himid, mwakilishi wa jimbo la Kiembesamaki mjini Unguja, amekubali kufanya mazungumzo yake ya kwanza na Idhaa ya Kiswahili ya DW tangu uamuzi wa Chama chake cha Mapinduzi wa kumvua uanachama. 

Kwa mujibu wa taarifa ya CCM kwa vyombo vya habari ni kwamba Mansoor amevuliwa uwanachama baada ya kukiuka miiko ya chama hicho tawala nchini Tanzania, hasa kwenye suala la muundo wa Muungano. 
 
Katika mazungumzo haya na Sudi Mnette, kwa mara ya kwanza mwansiasa huyo kijana, ambaye hapo jana Halmashauri Kuu ya CCM ilitangaza kumfukuza chamani, ameeleza baadhi ya yale yaliyo moyoni mwake. 

Kusikiliza mahojiano kamili, tafadhali bonyeza hapa chini.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo