MUONGOZAJI na mwigizaji mahiri wa filamu ambaye pia ni mtayarishaji
Issa Mussa ‘Cloud 112’ amesema kuwa filamu yake iliyotoka hivi karibuni
ya Shahaada ni filamu bora kuliko kazi yake aliyoitoa siku za awali ya
Toba, filamu hiyo ambayo ilitoka siku ya Ijumaa iliyopita imepokelewa
vizuri na wapenzi wa filamu Swahilihood kiasi hata cha kumpa hamasa
kutengeneza filamu kali zaidi.
“Natumia muda mwingi sana katika kutafitii kuhusu kazi ninayotaka kuifanya kwa ajili ya wapenzi wa kazi zangu ndio kila ninapotoa kazi mpya lazima ipokelewe vizuri na wadau wa filamu jambo ambalo kwangu ni furaha na ninashukru kwa kupokelewa vizuri filamu ya Shahada wasanii walioshiriki wamefanya vizuri, kazi hii inaizidi Filamu yangu ya Toba,”anatamba Cloud 112.
Filamu ya Shahada imebebwa na wasanii kama Richard Mshanga ‘Masinde’ Esha Buhet, Salama Salmin ‘Sandra’, Awadh Salehe, Skyner Ally Cloud 112 na wengine kupitia kampuni yake mahiri ya utengenezaji wa filamu ya Cy&Cl ndio iiliyofanikisha utengenezaji wa kazi bora ya Shahada na kusambazwa na klampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya steps Entertainment.
“Natumia muda mwingi sana katika kutafitii kuhusu kazi ninayotaka kuifanya kwa ajili ya wapenzi wa kazi zangu ndio kila ninapotoa kazi mpya lazima ipokelewe vizuri na wadau wa filamu jambo ambalo kwangu ni furaha na ninashukru kwa kupokelewa vizuri filamu ya Shahada wasanii walioshiriki wamefanya vizuri, kazi hii inaizidi Filamu yangu ya Toba,”anatamba Cloud 112.
Filamu ya Shahada imebebwa na wasanii kama Richard Mshanga ‘Masinde’ Esha Buhet, Salama Salmin ‘Sandra’, Awadh Salehe, Skyner Ally Cloud 112 na wengine kupitia kampuni yake mahiri ya utengenezaji wa filamu ya Cy&Cl ndio iiliyofanikisha utengenezaji wa kazi bora ya Shahada na kusambazwa na klampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya steps Entertainment.