MAJAMBAZI YAJERUHI VIBAYA KWA RISASI MKOANI ARUSHA

Watu wanaosadikiwa kuwa Majambazi jijini Arusha wamewapiga risasi wafanyabiashara 2 wa madini ya Tanzanite na kuwajeruhi vibaya. 
 majeruhi hao wamekimbizwa hospitali ya mount meru Arusha na hali zao si nzuri
Taarifa zaidi utazipata hapa hapa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo