Kaimu
Meneja wa Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi Issa
Mselem akifafanu kitu juu ya mikakati ya kumaliza Malaria Zanzibar
katika mkutano na Waandishi wa Habari, huko katika ukumbi wa kitengo cha
kudhibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.
Mtaalamu
wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar
(ZMCP) Khamis Ameir, akionyesha moja mbu waenezao Malaria katika mkutano
na Waandishi wa Habari huko katika ukumbi wa kitengo cha kudhibiti
Malaria mwanakwerekwe Zanzibar.
Baadhi
ya Waandishi wa Habari waliokuwepo katika ukumbi wa kitengo cha
kuzibiti Malaria mwanakwerekwe Zanzibar, wakifuatilia kwa makini taarifa
ya Kaimu Meneja wa Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar (ZMCP) Mwinyi
Issa Mselem hayupo pichani.
Mwandishi
wa Habari Juma Abdallah wa Zenji Fm Radio akiuliza suali kwa Mtaalamu
wa mbu waenezao Malaria katika Kitengo cha kudhibiti Malaria Zanzibar
(ZMCP) Khamis Ameir (hayupo pichani) juu ya mikakati ya upigaji dawa
huko katika ukumbi wa kitengo cha kudhibiti Malaria mwanakwerekwe
Zanzibar.
(Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar).