BUNGE LAIBUKA KIDEDEA NANE NANE 2013

 Maandamano ya ushindi baada ya Bunge kuibuka kidedea katika medani ya utoaji wa huduma bora ndani ya viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma. Jopo la majaji lililitangaza Bunge kuwa mshindi wa tatu Nane Nane 2013.
Picha ya pamoja ya kusherehekea ushindi na Prosper Minja- Bunge


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo