BREAKING NEWS: BASI LA MERIDIAN LAPATA AJALI MBAYA MUDA HUU, ABIRIA WAHOFIWA KUFA

Basi la Meridiani lililokuwa limetoka Rombo kwenda Dar. Limepinduka hapa karibu na Mbwewe. Shuhuda wetu anasema kuwa Watu wamekufa. Basi limekatika siti zipo nje. Dereva bado hajatolewa. taarifa ambazo si rasmi zinasema dereva wake kafia hapo hapo na abiria wengine pia wamefariki, Taarifa kutoka RPC Pwani zinadai kuwa ametuma polisi kwenda eneo la tukio na hivi sasa wapo njiani, taarifa kamili fuatilia Blog hii(Picha kwa hisani ya michapo na matukio blog)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo