Ali Kiba akiupagawisha umati wa Dar Live kwa wimbo wake wa 'Usiniseme'.
Ali Kiba na mdogo wake Abdul Kiba wakilishambulia jukwaa la kisasa la Dar Live.
Mhe Temba na Chegge kama kawa wakiwarusha mashabiki wa Dar Live ambao ndiyo uwanja wao wa nyumbani.
Bi Cheka akifanya yake stejini.
H Baba akifanya vitu vyake stejini.
Rose Ndauka akiwa jukwaani na kundi la TNG.
TNG kazini.
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube