WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI KITAIFA MWAKA HUU KUFANYIKA JIJINI MWANZA


Mhe Pereira Silima Naibu Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa Usalama Barabarani leo amezungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Wizara na kutoa taarifa ya maadhimisho ya Kitaifa ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Mkoani Mwanza 23/09/13 - 27/09/13. 
======  =======  =======


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo