Kambi
ya Wasinii wa Filamu na Maigizo pamoja na Kambi ya Waanahabari Makapela
Tanzania imepata pigo kubwa baada ya Mwanachama wake Nguli, Simon Simalenga
kuamua kuiaga kambi hiyo na kuingia rasmi katika Kambi Tawala ya Wanandoa baada
ya kufunga Ndoa na Bi. Neema Inana. Wawili hao wameamua kuiga kambi hiyo ya
Upinzani katika mahusiano leo katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria
Mama wa Mwokozi Sinza jijini Dar es Salaam na baade katika tafrija kubwa
unayofanyika usiku huu wa Julai 27, 2013 katika ukumbi qa Grande Hall uliopo
ndani ya Hoteli ya Picolo Beach Mbezi.
Production: MD Digital Company: +255 373
999/+255 717 002303
Whatsapp +255 788 207274.