skip to main |
skip to sidebar
IGP MWEMA KUNG'ATUKA!
IGP
Said Mwema (60), ambaye awali Serikali ilikuwa imemuongezea muda wa
kuwa kwenye nafasi yake hadi baada ya Uchaguzi Mkuu 2015, amedaiwa
kuomba kustaafu ifikapo Disemba 2013.
Vyanzo vinadokeza kuwa mrithi wa Mwema tayari amekwishaandaliwa na atajulikana karibuni!
Endelea kusoma zaidi hapa ==> http://bit.ly/1buL7xQ
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi