skip to main |
skip to sidebar
RAIS OBAMA AKUTANA NA BUSH UBALOZINI DAR ES SALAAM
Rais Obama pamoja na Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa
Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima
zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika katika
shambulio la Ugaidi katika Ubalozi wao hapa nchini mwaka 1998.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi