RAIS KIKWETE AWAPONGEZA WANAHABARI WA KAGERA KWA KAZI NZURI WAKATI WA ZIARA YAKE

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wanahabari wa Mkoa wa Kagera ambao amewapongeza kwa kazi nzuri waliyofanya wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani humo. Hapa ni katika uwanja wa Kaitaba mara baada ya kuhutubia umati mkubwa wa wananchi katika kuhitimisha ziara hiyo
 Rais Kikwete akiwapongeza wanahabari wa Kagera kwa kazi nzuri
 Akisalimiana na mkongwe Meddy Mulisa wa Daily News
 Hongera kwa kazi nzuri dada...
Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na wanahabari hao.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo