Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wanahabari wa Mkoa wa Kagera ambao
amewapongeza kwa kazi nzuri waliyofanya wakati wa ziara yake ya siku
sita mkoani humo. Hapa ni katika uwanja wa Kaitaba mara baada ya
kuhutubia umati mkubwa wa wananchi katika kuhitimisha ziara hiyo
Rais Kikwete akiwapongeza wanahabari wa Kagera kwa kazi nzuri
Akisalimiana na mkongwe Meddy Mulisa wa Daily News
Hongera kwa kazi nzuri dada...
Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na wanahabari hao.