LORI LA MAGOGO LAUA MAFINGA MKOANI IRINGA


Hii ndiyo hali halisi ya tukio
Mkazi mmoja (Jina halijafahamika) wa kijiji cha Itimbo amefariki papo hapo maeneo ya kinyambo katika mji mdogo wa Mafinga. 
Ajali hiyo iliyotokea majira ya mchana wakati marehemu akiwa pembeni mwa barabara alijikuta kavamiwa na tela la gari la magogo,

Imesemekana kuwa gari la magogo lilipofika kwenye bamsi tela lake lilichomoka na kusababisha ajali hiyo mbaya sana.
NA Mafingaonline


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo