JUMA KASEJA ATAJA TIMU ATAKAYOICHEZEA HIVI SASA

Nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja yuko mbioni kwenda kukipiga katika klabu ya FC Lupopo inayoshiriki ligi kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. 

Wakala wa klabu hiyo amesema tayari wameshakubaliana baadhi ya mambo na mchezaji huyo na yamesalia masuala machache kabla ya Kaseja ambaye ni mchezaji huru kwa sasa kujiunga na timu hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo