
Leo
 mawakili wa pande zote wametoa maelezo yao huku Upande wa Henry Kilewo 
na wenzake wakitaka mahakama Kuu ifute mashtaka yanayowakabili kutokana 
na kutokuwa na uhalali wa kisheria. 
Mahakama Kuu kanda hiyo ya Tabora imepanga kuwa itatoa maamuzi yake juu ya shauri hilo ifikapo Agosti Tano mwaka huu. Haki huwenda ikatendeka
Mahakama Kuu kanda hiyo ya Tabora imepanga kuwa itatoa maamuzi yake juu ya shauri hilo ifikapo Agosti Tano mwaka huu. Haki huwenda ikatendeka