UKARABATI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI WASABABISHA FOLENI MKOANI NJOMBE

 Ukarabati wa Barabara kwa Kiwango cha Lami ukiendelea Mjini Njombe.

 TANROAD Njombe waandaa sehemu za kushushia na kupakilia Abiria Mjini Njombe,hapa ni eneo la Chaugingi karibu na Ofisi za TANESCO Wilaya ya Njombe.
 Ukarabati wa Barabara ukiendelea katika Barabara kuu ya Iringa-Songea kwa kufanya upanuzi wa Kiwango cha Lami.
Shughuli ya kupanua barabara wakati ikendelea wakati mwingine imekuwa ikisababisha Foleni.

Picha na Prosper Mfugale.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo