PICHA ZA AJALI ILIYOUNGUZA ZAIDI YA WATU 30 WALIOKUWA WAKICHOTA MAFUTA KWENYE LORI LILILOPATA AJALI

uganda-lori-mafuta-moto-vifo-5uganda-lori-mafuta-moto-vifo-4
uganda-lori-mafuta-moto-vifo-3
uganda-lori-mafuta-moto-vifo-2
uganda-lori-mafuta-moto-vifo-1
uganda-lori-mafuta-moto-vifo
Moto mkubwa uliowaka baada ya ajali mbaya ya barabarani iliohusisha lori la mafuta, umewauwa takriban watu 33 mjini kampala Uganda. Watu wengine 30 wanadaiwa kujeruhiwa vibaya kufuatia tukio hilo.

Maafisa wa polisi wanasema kuwa kati ya waliofariki ni raia waliokuwa wanakimbilia eneo hilo la mkasa kuteka mafuta yaliokuwa yakivuja kutoka kwa lori hilo.

maafisa wa serikali walikuwa katika harakati za kutambua mili ya waliofariki baada ya wengi wao kuchomeka vibaya.

Idara ya polisi imesema kuwa waliofariki waliteketea kiasi cha kutotambulika na itabidi watumie utaalamu wa vinasaba au DNA kutambua miili ya waliokufa. Source: BBC


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo