MWANAMUZIKI LANGA AFARIKI DUNIA LEO


Ikiwa ni takriban wiki mbili sasa tangu msanii Albert Mangwea kuaga dunia, watanzania tumepata tena msiba mwingine mzito ambapo msanii wa hip hop tanzania Langa Kileo naye amefariki dunia hii leo

Langa amefariki wakati akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Malaria katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam

Endelea kufuatilia mtandao huu kwa taarifa zaidi kuhusu msiba huo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo