MOTO WATEKETEZA MADUKA KARIAKOO DAR ES SALAAM



Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam 
Karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo leo 
Asubuhi na kuteketeza baa moja. Chanzo cha 
 moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya 
 umeme 
 iliyotokea jirani na baa hiyo.


chanzo:globalpublishers


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo