KAMA UNATAKA MILIONI 100, MFICHUE ALIYETUPA BOMU ARUSHA, TUTAKUPATIA!

SERIKALI Imetoa kiasi cha fedha sh milioni 100 ambacho itamzawadia mtu atakaye mfichua aliyerusha bomu katika mkutano wa kampeni za udiwani za CHADEMA Mkoani Arusha. 

Kiasi hicho cha fedha kimetangazwa muda huu bungeni mjini Dodoma ili kuhakikisha inachochea kupatikana kwa mtu huyo.

Hata hivyo Serikali imeahidi kumsaka mtu huyo anayedaiwa kurusha bomu ambalo limesababisha kufa kwa watu wawili hadi sasa na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo