BREAKING NEWS: MBUNGE JOSEPH MBILINYI SUGU APATA AJALI MBAYA

SUGU
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) amepata ajali mbaya ya barabarani wilayani Hanang’ baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na basi la abiria.

Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita wakati Mh. Sugu akielekea Arusha. Taarifa zinadai Mh. mbunge hajadhurika!

Tutaendelea kufuatilia zaidi na tutawajuza hapa hapa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo