BREAKING NEWS: MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA POLISI MUDA HUU

 
Mwenyekiti wa Chama cha Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wamejisalimisha Kituo Kikuu cha polisi mjini Arusha baada ya Jana Kamishna wa Operesheni na Mfunzo ya Jeshi la Polisi nchini Paul Chagonja kutaka wajisalimishe.
Mbowe na Lema wamejisalimisha muda huu kwa ajili ya kuhojiwa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo