AFANDE SELE AWEKA WAZI KUWA HAJAWAHI KUPATA TUZO YA KILI

Ukisoma historia yangu kupitia WIKIPEDIA kamusi elezo huru, kuna sehemu wameandika kuwa nilishawahi kushinda tuzo za kili wakati si kweli zaidi katika historia yangu yote ya muziki hapa bongo nimeshawahi kushinda tuzo moja tu ya 'KING OF RHYMES' ambayo hata hivyo nilipata kwa kupitia nguvu ya umma tu kwa kuwa 'king of rhymes' ndio shindano pekee katika historia ya muziki wa bongo lililoandaliwa na kuamuliwa kupitia nguvu ya umma kiasi cha kuteka hisia za raia wa rika zote kama ilivyo kwa uchaguzi wa rais.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo