BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA LA HAKI ZA BINADAMU LAPITISHA AZIMIO ALBINO


Umoja wa Mataifa wapitisha Azimio la Kihistoria kuhusu Haki za Watu wenye Albinism

 Tarehe 13 Juni, 2013  Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu (UNHRC) kwa pamoja lilipitisha azimio lililowasilishwa na Kikundi cha Umoja wa Mataifa cha Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza katika ngazi ya kimataifa kutambua na kushughulikia mashambulizi na ubaguzi dhidi ya watu wenye albinism katika nchi nyingi.    

Azimio hili la kihistoria limefanikiwa baada ya ushirikiano mkubwa baina ya Balozi wa Somalia katika Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Yusuf   Mohamed   Ismail, nchi wanachama zikiongozwa na Kikundi cha Mataifa ya Afrika, Ofisi ya Kamishna wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu  (UNOCHRC) na Shirika la Under  The  Same  Sun (UTSS).     
·      Tembelea wavuti zifuatazo kutazama video zinazohusiana na azimio hili la kihistoria: http://www.youtube.com/watch?v=EJIFdT8bKM0&feature=youtu.be
·      (UTSS  Founder/CEO  Peter  Ash  addresses  the  UN  HRC  Assembly  on  albinism)  
·      (The  Ambassador  of  Gabon  (leader  of  The  African  Group  of  Nations)  presents  the  
resolution  to  the  Council  and  it  is  adopted )


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo