AJALI YA GARI NA BAJAJ DAR YASADIKIKA KUUA


Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo imetoke eneo la jet nyerere mkabala na kituo cha mafuta cha victoria.Akielezea zaidi Frank anasema ajali hiyo imehusisha gari dogo aina ya Verosa yenye namba za usajili T 654 CHE na  bajaji ,Kwa mujibu wa mashuhuda dereva wa bajaji amefariki hapo hapo ,na dereva wa verosa amekimbia.Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo