MWANAMKE AKIRI MAHAKAMANI KUPANGA NJAMA YA KUMUUA MUMEWE

KITUKO NCHINI KENYA: NJAMA YA MKE KUMUUA MUMEWE YATIBUKA

Mwanamke mmoja amekiri mbele ya mahakama mjini Nairobi kuwa alipanga njama ya kumuua mumewe kwa kuwalipa watu aliodhani ni MAMLUKI  shilingi laki mbili za Kenya  kutekeleza njama hiyo. Hata hivyo alishtuka kugundua kuwa watu hao walikuwa maafisa wa ujasusi na ndiposa wakeweza kumkamata. 

Faith Wairimu aliambia mahakama kuwa alitaka kumuua mumewe wa miaka 16 na baba ya wanawe wawili kwa sababu matatizo ya kinyumbani ikiwemo kukosa kuwalipia watoto karo ya shule.  

Nini maoni yako kuhusu kisa hiki ambacho kimewashangaza wengi nchini Kenya?
 
 
 
Mwanamke mmoja amekiri mbele ya mahakama mjini Nairobi kuwa alipanga njama ya kumuua mumewe kwa kuwalipa watu aliodhani ni MAMLUKI shilingi laki mbili za Kenya kutekeleza njama hiyo. 
Hata hivyo alishtuka kugundua kuwa watu hao walikuwa maafisa wa ujasusi na ndipo sasa wakaweza kumkamata.

Faith Wairimu aliambia mahakama kuwa alitaka kumuua mumewe wa miaka 16 na baba ya wanawe wawili kwa sababu matatizo ya kinyumbani ikiwemo kukosa kuwalipia watoto karo ya shule.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo