WANUSURIKA KUGONGWA NA GARI IRINGA



  Na Gustav Chahe
WATU mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara ndogondogo wa mashinetatu katika Manispaa ya Iringa wamenusurika kugongwa na gari baada ya gari hilo kukosa breki na kuanza kurudi nyuma.

Watu mbalimbali walikuwa wamejaa kuangalia kinachoendelea baada ya polisi kuwakatalia wafanyabisahara kuendelea na biashara maeneo hayo ndio walio wakuwa wapatwe ajali hiyo.

Gari hilo lilikuwa likipandisha barabara ya mashinetatu kuelekea barabara kuu lakini kabla ya kuingia barabara kuu likakosa breki na kuanza kurudi nyuma.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo