Mtoto Abdallah anasumbuliwa na tatizo la MOYO, Moyo wake ni Mkubwa,
Kwa sasa Amelazwa Katika Wodi ya Watoto Katika Hospitali ya Mnazi
mmoja, ambapo anaendelea kupata Matibabu lakini LENGO ni kusafirishwa
Nje yaNchi. Pia Anasumbuliwa na Maradhi ya Tumbo Kujaa Maji ambapo
analazimika Kutolewa Maji Kila Baada ya Siku 3.
Kwa Yoyote Anayeweza Kutoa Kiasi chochote Cha Msaada Unaweza Kutumia Namba hii 0774 64 87 80 kuwasiliana Mama Mzazi wa Abdallah.
Kwa Yoyote Anayeweza Kutoa Kiasi chochote Cha Msaada Unaweza Kutumia Namba hii 0774 64 87 80 kuwasiliana Mama Mzazi wa Abdallah.