WAHAMIAJI HARAMU WALIOVAMIA MASITU WAPEWA SIKU 3 WAONDOKE

Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imewapa siku tatu wahamiaji haramu zaidi ya 200 waliovamia msitu wa hifadhi wa Kwani na Tongwe wilayani Muheza Mkoani Tanga kuondoka mara moja la sivyo nguvu ya ziada itatumika kuwaondoa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo