Mwenyekiti wa Chama cha Sekta ya Ulinzi nchini (TSIA),
Athuman Maige (kulia) akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano
kati ya chama chake na wizara hiyo.
Mwenyekiti wa Chama cha Sekta ya Ulinzi nchini (TSIA),
Athuman Maige (katikati) akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) kuhusu masuala mbalimbali ya
ushirikiano kati ya chama chake na wizara hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu
wa chama hicho, Isaya Maiseli.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi
(kushoto) akimfafanulia jambo Mwenyekiti wa Chama cha Sekta ya Ulinzi
nchini (TSIA), Athuman Maige (katikati) pamoja na Katibu Mkuu wa chama
hicho, Isaya Maiseli. Viongozi hao walikutana na waziri huyo ofisini
kwake jijini Dar es Salaam jana na kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano
kati ya chama hicho na wizara.
PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO
YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.