skip to main |
skip to sidebar
RUSHWA YAZIDI KUDIDIMIZA UCHUMI WA NCHI
Taasisi
ya Kupambana na Kuzuia Rushwa-TAKUKURU- imesema vitendo vya rushwa
katika nchi nyingi duniani hasa zinazoendelea imedidimiza uchumi wa
nchi hizo, kutokana na kukosekana kwa uadilifu miongoni mwa
waliopewa dhamana.
Kutokana na hali hiyo, Shilingi zaidi ya BILIONI 149 ambazo zinge tumika katika shughuli za maendeleo hupotea kila mwaka
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi