NIMEKUBALI WANAWAKE WANAWEZA

 Mwanamama kutoka kijiji cha Malembuli kata ya Mang'oto wilayani Makete akiandaa mbolea ya mboji kwa ajili ya kurutubisha shamba lake na shughuli nyingine za kilimo
Huyu ni mwanamke mwingine wa kijiji hicho hicho akiwa anachimba shimbo kwa ajili ya kuandaa mbolea ya mboji, utamtaka!!!!!!!!!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo