Basi la kampuni ya japanese linalofanya safari zake kati ya Ikonda - Mbeya likiwa limekwama kwa zaidi ya saa 1 katika kijiji cha Ivalalila kutokana na kipande hiki kidogo cha barabara kuharibika vibaya kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo
Gari la shirika la SUMASESU linalofanya shughuli za kijamii wilayani Makete likitoa msaada wa kuvuta basi hilo la abiria lililokwama
Hii ndiyo hali halisi ya basi hilo baada ya kukwama
Hapa wakifunga kamba kwenye basi hilo ili livutwe
Hapa wadau SUMASESU wakijiandaa kuondoka baada ya kufanikiwa kuvuta basi hilo
Basi hilo likivutwa ili linasuliwe.
Mtandao huu unashauri jitihada zaharaka zifanyike ili kunusuru tatizo hili kwani linazidi kuwa kubwa