ZITTO KABWE AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI WA KIGOMA UJIJI

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA),akihutubia mamia ya wananchi wa Ujiji Kigoma  pamoja na Mambo mengine aliwaaambia wananchi hao kwamba Rais Jakaya Kikwete, anatakiwa kuacha kutumia mali za serikali kwa ajili ya kufanya shughuli za Chama chake cha Mapinduzi (CCM).


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo