UJENZI WA BARABARA SONGEA - TUNDURU KWA KIWANGO CHA LAMI UKO POA


Vijana kibao wa huku wamenufaika kwa ajira ya ujenzi wa barabara hii muhimu ambayo ujenzi wake ulisimama kwa muda baada ya kampuni ya kandarasi ya Ujenzi ya Progressive ya India kushindwa na kutimuliwa na kupatikana mkandarasi mwingine. Picha na mdau Gerson Msigwa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo