Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akitia saini kitabu cha maombolezo ya Askofu Thomas Laizer wa Dayosisi
ya Kaskazini Kati la Kanisa la Kiinjili cha Kilutheri Tanzania (KKKT) jana, Alhamisi, kwenye Kanisa Kuu la KKKT mjini Arusha kabla ya kutoa
heshima zake za mwisho kwa mwili wa Askofu.RAIS KIKWETE AHUDHURIA MSIBA WA ASKOFU THOMAS LAIZER
By
Unknown
at
Friday, February 15, 2013
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akitia saini kitabu cha maombolezo ya Askofu Thomas Laizer wa Dayosisi
ya Kaskazini Kati la Kanisa la Kiinjili cha Kilutheri Tanzania (KKKT) jana, Alhamisi, kwenye Kanisa Kuu la KKKT mjini Arusha kabla ya kutoa
heshima zake za mwisho kwa mwili wa Askofu.
