HAWA NDIO WAJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM (CC)




 










Kutoka Tanzania Bara
   Dk Emmanuel Nchimbi
   Prof. Anna Tibaijuka
   Steven Wassira
   William Lukuvi
   Adam Kimbisa
   Jerry Slaa
   Pindi Chana
 
Kutoka Zanzibar
Dk. Salim Ahmed Salim
Shamsi Vuai Nahodha
Profesa Makame Mbarawa
Dk. Hussein Mwinyi
Samia Suluhu Hassan
Dk Maua Abeid Daftari
Khadija Aboud
Wamechaguliwa kwa kupigiwa kura na wajumbe wa NEC kutoka miongoni mwa majina 28 yaliyoteuliwa kugombea nafasi 14. Wapo saba kutoka Bara na saba kutoka Visiwani.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo