PICHA ZA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA DAUDI MWANGOSI KATIKA PICHA MAHAKAMANI HII LEO

 mtuhumiwa wa mauwaji  ya Daud Mwangosi Bw Simon  kulia akifikishwa mahakamani  leo
 Hapa ni baada ya  kusuka katika karandinga la polisi  leo
 Wanahabari  wakishuhudia  pasipo kupiga  picha mtuhumiwa baada ya kuthibitiwa na mmoja kati ya askari polisi ,japo kamera ya mtandao  huu iliweza  kunasa  tukio zima
 Hapa mtuhumiwa  huyo akishuka katika karandinga na kupelekwa mahabusu ya mahakama  ya mkoa leo
 Wahanabari  wakisikiliza kesi hiyo  kupitia dirisha  huku askari  huyo akijaribu  kuwafukuza
 Karandinga la  watuhumiwa  likiingia mahakamani  leo
 Hapa mtuhumiwa baada ya  kupangiwa tarehe  ya kutajwa  tena  kesi  hiyo ambayo itatajwa tena Februari 28 mwaka huu
 
Askari  polisi ambae  jina lake  halikuweza  kupatikana akiwadhibiti wanahabari waliofika  kuripoti habari ya mtuhumiwa  huyo  wa mauwaji ya Daudi Mwangosi anayethibitiwa hapa ni mwenyekiti  wa klabu ya  wanahabari mkoa  wa Iringa (IPC) Frank Leonard ambae ni mwandishi  wa gazeti la habari leo mkoa  wa Iringa.(Picha zote na mdau Francis Godwin)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo