NYUMA YA PAZIA KUHUSU BUNGE KUTOONESHWA LIVE

Wakati ofisi ya bunge ikidai kuwa imekaririwa vibaya na vyombo vya habari kuhusu niayake ya kuta kusitisha urushwaji wa moja kwa moja ya vikao vya bunge mbunge wa Ubungo Mh John Mnyika amesema mpango wa kubinya uhuru wa vyombo vya habari bungeni ulianza tangu mwaka 2012 na hivyo bunge linafanya hivyo kujaribu kupima nguvu ya ummaa na kama watu wakikaa kimya ni dhahiri kuwa ipo dhamira hiyo wataitekeleza.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo