NEW HIT:BENJAMIN WA MAMBOJAMBO - SCANDAL


Mkali Benjamin wa Mambo Jambo ambaye ni msanii kutoka Art In Tanzania aliye-hit na ngoma kibao kama Nimefulia, My Friend na nyingine zilizomzolea mashabiki lukuki, Mwaka huu amejipanga vyema kwa kudondosha mawe kibao.

Benjamin ametoa nafasi kwa mashabiki wake muhimu kusikiliza ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ”Scandal”. Bofya hapo chini kusikiliza ngoma hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo